BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KATIBU MKUU WA CCM KINANA ATUA MOROGORO.


1
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana na Mohamed Seif Khatib Katibu wa NEC Oganizesheni wakati alipowasili katika eneo la Nanenane mkoani Morogoro leo tayari kwa kuanza ziara ya siku kumi ya kichama katika mkoa huo.Ziara hiyo ina lengo la Kuhamasisha wananchi kushiriki katika utekelezaji wa miradi na kusimamia serikali katika kutekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi.2
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana wananchi mbalimbali wakati walipompokea kwenye viwanja vya Nanenane mjini Morogoro kushoto ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye 3
Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana na wananchi mbalimbali 4
Ndugu Abdurahman Kinana akiongea na wananchi katika eneo la Nanenane mjini Morogoro. 
7
Msafara ukiongozwa na mapikipiki kuelekea mjini Morogoro 8
Msafari unaingia mitaa ya Morogoro mjini 9
Katibu Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana akiwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Dar es salaam kushoto ni Mohamed Seif Khatib Katibu wa NEC Oganizesheni 10
Ndugu Abdurahman Kinana akiongea na wananchi mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM Mkoa. 11
Ndugu Abdurahman Kinana akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za CCM mkoa wa Morogoro. 12
Mbunge wa Morogoro Mjini Mohamed Abood kushoto akiongea na Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Lucy Nkya kulia na katikati ni Sara Msafiri Mbunge wa viti maalum vijana Taifa
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: