WAZIRI wa Mali Asili na Utalii Mh. Khamis Kagasheki akitoa ufafanuzi kuhusu serikali ya Tanzania kupitia wizara hiyo akisema eneo la pori tengefu la Loliondo litaaendea kuwa chini ya Uangalifu wa Wizara kwa kuwa linachangia kwa kiwango kikubwa kuimarisha wa kiakili kuwa wa mfumo ekolojia na ajili ya maendeleo ya Jamii.