Mbwa mwitu wakipiga
mahesabu ya kuwavamia pundamilia ambayo nao wakiwa katika mkao wa
kujilinda dhidi ya maadui zao, sijui vita hiyo nani alishinda.
Watalii wakiwa katika
gari lenye waya huku wanyama hatari kwa binadamu (Simba) wakiwa
wamelizengea gari hilo wakati wakitafuta namna ya pita ili wakawadhuru
binadamu hao katika moja ya hifadhi ya mbuga zetu za wanyama hapa
Tanzania. Imeandaliwa na JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
0 comments:
Post a Comment