MNYONGE NA MNYONGE WAKE, Tembo akiwa amekamatwa mkonga wake na mbabe wa majini (MAMBA) aliyekuwa katika mawindo ili kupata chakula wakati kundi la tembo wakinywa maji kwa ajili ya kurekebisha kiwango cha joto mwilini katika moja ya mabwawa ya maji katika hifadhi ya wanyama hapa Tanzania.
0 comments:
Post a Comment