BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KWELI WADHIHILISHA KUWA SIKU ZA MWIZI NI 40, JAMBAZI LANUSURIKA KIFO JIJINI DAR ES SALAAM.

Jambazi akiwa hoi katika hospitali ya Mwananyamala baada ya kupewa kichapo na wananchi wenye hasira kali.
 
KIJANA mmoja ambaye hajafahamika jina lake anayedaiwa kuwa ni jambazi amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali eneo la Kimara jijini Dar es Salaam. Kijana huyo akiwa na wenzake wawili waliokuwa na silaha za moto tayari kwa kwenda kufanya uhalifu lakini kabla mpango wao haujakamilika polisi waliingilia kati.

Haikuwa kazi rahisi kuweza kumkamata jambazi huyo kutokana na majibizano ya risasi kati yao na polisi. Hata hivyo mmoja wao (pichani juu) alitiwa nguvuni wakati wenzake wawili wakitokomea.
(Picha na Khatimu Naheka / GPL)
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: