BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DUNIA BADO INA VITUKO KIBAO !!! BINADAMU WAISHI NA MAMBA KAMA SEHEMU YAO YA MIFUGO.

Hii ni jamii ya watu wa kijiji cha Bazoule kilichopo nje kidogo ya Mji mkuu wa Burkina Faso. 

Kwa mujibu wa wanahistoria, jamii hii ilianza kuishi na mamba yapata miaka 600 iliyopita.


Mzee akiwa ameketi jirani na mambo katika makazi yake.

Mamba akiwa amejipumzisha katika makazi ya binadamu
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: