BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

PICHA YA SIKU !!!!. KUNA HAKI YA WANYAMA HAPA ?.

Mfugaji wa jamii ya kimasai, Sambo Lokongaa akisaidiwa na wasamalia wema kumvuta na kumwingiza kinguvu ng'ombe katika kivuko cha mto Kilombero 11 ili aweze kuvuka naye baada ya kugoma wakati akitokea wilaya ya Ulanga kuingia ya wilaya ya Kilombero kwa ajili ya kumuuza mkoani Morogoro.PICHA/MTANDA BLOG
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: