BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

REAL MADRID YAJIIMARISHA LIGI YA HISPANIA PAMOJA LICHA YA KUMKOSA MSHAMBUALIAJI HATARI CHRISTIANO RONALDO.

371977hp2Pamoja na kumkosa mchezaji wao tegemeo klabu ya Real Madrid jana iliendeleza wimbi la ushindi baada ya kuifumua Elche kwa mabao matatu kwa moja katika mchezo uliopigwa mapema jana jioni.
Mabao ya Madrid yalifungwa na Illaramendi, Gareth Bale na Isco.
HII NDIYO VIDEO YA MABAO YA MCHEZO HUO.

Real Madrid 3-0 Elche (All Goals) 22... by ourmatch
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: