BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

CHAMA CHA WAANDISHI WANAWAKE TANZANIA CHAWANOA WAANDISHI WA HABARI NA WANAJAMII WA DAKAWA NA MELELA KUHUSU KUWAJENGEA UWEZO WA KUSHIRIKIANA NA VYOMBO VYA HABARI


Baadhi ya waandishi wa habari na wanajamii wakifuatilia mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kushirikiana na vyombo vya habari wananchi na jamii katika kata mbili za Dakawa na Melela wilaya ya Mvomero, ambapo mradi huo unaendeshwa na TAMWA kwa kushirikiana na shirika la Legal Service Facility (LSF), mkoani Morogoro.
Mkazi wa Dakawa wilaya ya Mvomero, Bahati Mwinyimvu akizungumza jambo wakati wa mafunzo hayo.

Washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia matukio pamoja na Sakina Nyumayo kutoka kituo cha wasaidizi wa kisheria Morogoro.

Mwandishi wa kituo cha redio cha Planet FM, Bismass Shilla akizungumza jambo waakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kushirikiana na vyombo vya habari wananchi na jamii katika kata mbili za Dakawa na Melela wilaya ya Mvomero, ambapo mradi huo unaendeshwa na TAMWA kwa kushirikiana na shirika la Legal Service Facility (LSF) mkoani Morogoro.


Mratibu wa Kituo cha Usuluhishi – CRC kilichoko ndani ya chama cha waandishi wanawake Tanzania (TAMWA), Gladness Munuo akiendesha mafunzo hayo.
Mwandishi Mkongwe wa Gazeti la Majira mkoa wa Morogoro Halfan Diyu akitoa ufafanuzi wa jambo kwenye mafunzo hayo.

Mwandishi na Mtangazaji wa kituo cha Luninga cha Abood Media, Emmanuel Victor Mdoe akitoa mafunzo katika moja ya sekta ya fulsa zinazohusu wanawake.

Mmoja wa mafunzo hayo akifuatilia matukio yaliyokuwa yakiendendelea.

Mratibu wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Morogoro, Thadei Hafigwa akizungumza jambo katika mafunzo hayo.PICHA/MTANDA BLOG
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: