Sehemu ya baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiwa wamejazana katika mahakama hiyo wengine wakisikiliza kesi hiyo katika chumba cha mashtaka.
Kesi hiyo itatajwa tena Juni Mosi mwaka huu baada ya watuhumiwa wote kukana mashtaka huku wakinyimwa dhaamana kwa madai ya kuvuga upelelezi.
0 comments:
Post a Comment