Amesema kiasi hicho cha fedha kilipatikana kutokana na jumla ya makosa 9,612 kwa magari na pikipiki katika mkoa wa Morogoro.
Alitaja makosa ya magari kuwa ni mwendo kasi makosa 2661, ubovu wa magari makosa 988, kukiuka ratiba makosa 275, kuzidisha abiria makosa 113, kutokuwa na bima makosa 114 na mengineyo 2,908.MWANANCHI
0 comments:
Post a Comment