Kamanda wa Polisi Mkoa Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa hakupatikana kuelezea tukio, lakini Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo alithibitisha kutokea kwa vurugu hizo.
“Tumetumia busara zote kuhakikisha barabara hiyo inafunguliwa lakini ikashindikana, hivyo polisi na Serikali tukalazimika kutumia nguvu,” alisema Kipuyo.MWANANCHI
0 comments:
Post a Comment