BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MTOTO WA KIUME MWENYE UMRI MDOGO ALIYEMPA UJAUZITO MWANAMKE NA KUZAA MTOTO NDIYE HUYU

Sean Stewart mwenye umri wa miaka 12 anayeishi Uingereza ndiye anayesemekana ndiye baba mwenye umri mdogo zaidi duniani

Sean anasoma darasa la saba katika shule ya Margaret Beaufort ameruhusiwa kukaa nyumbani (Paternal Leave) ili kuwa karibu na mpenzi wake aliyejifungua wiki hii aitwae Emma Webster

Sean alitimiza miaka 12 mwezi mmoja uliopita , na alimpa ujauzito Emma akiwa na miaka 11 huku Emma akiwa na miaka 15 Sean anasema alishtuka kwa mara ya kwanza aliposkia Emma ana ujauzito wake ila kwa sasa ana jiona yupo sawa na ana furaha isiyo na kifani.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: