BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MANENO YA BUSARA NA HEKIMA KUTOKA KWA MWANAMUZIKI AFANDE SELE

"Mimi siyo CCM lakini kwa utendaji wa Rais Dkt. John Magufuli tumpe nafasi afanye kazi yake yeye ni mchapakazi na mzalendo, kaleta nidhamu serikalini, nidhamu ya matumizi ya fedha, udhibiti wa kodi umefanya watu tuheshimiane nchini kwenye sekta mbalimbali"- Afande Selle.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: