Amefikia maamuzi hayo baada ya watumishi hao kukaidi agizo lake alilowapa la kutafuta fedha kisha kuwalipa wafanya usafi hao ambao wanaidai halmashauri hiyo kwa miezi 6 na imekuwa kila mara wanapigwa danadana na kuahidiwa kulipwa lakini suala hilo halitekelezeki.
MKUU WA WILAYA AWAHENYESHA MKURUGENZI NA MHASIBU WAKE KWA KUWASWEKA LUPANGO.
Amefikia maamuzi hayo baada ya watumishi hao kukaidi agizo lake alilowapa la kutafuta fedha kisha kuwalipa wafanya usafi hao ambao wanaidai halmashauri hiyo kwa miezi 6 na imekuwa kila mara wanapigwa danadana na kuahidiwa kulipwa lakini suala hilo halitekelezeki.
0 comments:
Post a Comment