Kutokana na baadhi ya tabia za watu kuwa na tabia za kushindwa kukumbuka walikotoka, ni vyema kuwa na tabia ya kukumbuka historia ya mafanikio yako lakini mambo mawili yasisahauke.
Mtu wa kwanza unayepaswa kutomsahau ni yule aliyekusaidia ukiwa kwenye wakati mgumu wa kutafuta fursa za kujinasua na maisha magumu.
Nafasi ya pili ni yule mtu aliyekukimbia nyakati za wakati mgumu hasa ulipokuwa na shida za kila aina mtu huyu anapaswa kuheshimiwa pengine hata kulipa fadhila kwa namna utavyoweza.
Ni vizuri watu wakakumbuka chanzo cha mafanikio yao, japo wakati huo utakuwa upo juu kimaisha.
0 comments:
Post a Comment