BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAHAFALI YA 15 YA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI MOROGORO.

Mkuu wa chuo cha uandishi wa habari Morogoro (MSJ) Saidi Dogoli kushoto akisoma lisara muda mfupi kabla ya kumpisha mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mkajanga Kajubi Mkajanga kuwatunuku vyeti kwa wahihitimu wa kozi za uandishi wan habari ngazi ya cheti na stashaha na  walimu wa shule za awali katika mahafali ya 15 ya chuo hicho yaliyofanyika kwenye ukumbi wa JKT viwanja vya maonyesho ya kimataifa ya wakulima kanda ya mashariki Nane Nane uwanja wa Mwl Julius Nyerere mkoani Morogoro. kulia ni Mwenyekiti wa Morogoro Press Club, Aziz Msuya.
Wahitimu wa kozi ya uandishi wa habari katika ngazi ya cheti na stashahada katika chuo cha Morogoro (MSJ) wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa mahafali ya 15 ya chuo hicho yaliyofanyika ukumbi wa banda la JKT viwanja vya maonyesho ya kimataifa ya wakulima kanda ya mashariki Nane Nane uwanja wa Mwl Julius Nyerere mkoani Morogoro

Hapa wakiingia ukimbini kwa maandamano.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: