BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

FOLENI YA KWENDA KUCHUKUA FOMU ZA KUWA KARANI WA MUDA WA KUHESABU WATU NA MAKAZI MANISPAA YA MOROGORO.

Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiwemo na walimu wa shule za msingi na sekondari wakiwa katika foleni ndefu kwa ajili ya kwenda katika ofisi inayohusika na sensa wakati zoezi la kuchukua fomu za maombi ya kufanya kazi ya muda kama karani wa sensa ya watu na makazi kwa mwaka 2012 katika ofisi za Manispaa hiyo ambazo zaidi ya wakazi 4000 walijitokeza kuomba kazi hiyo ya muda mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: