BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAN RUSHED TO HOSPITAL GASPING FOR AIR AFTER BEING TRAPPED INTO TANK.

 Mr Frank John (23) it treated at the Morogoro Regional Hospital after a cover of an oil storage tank tjat he and his colleague were repairing shut them under-group missing air.
 Jopo la Madaktari na manesi wakimkimbiza Frank John katika chumba wa wagonjwa mahututi wenye uangalizi (ICU) kwa matibabu zaidi baada ya kupatiwa huduma ya kwanza katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro.
 Wasamalia wema katika Manispaa ya Morogoro wakimchomoa kijana Frank John (23) kutoka ndani ya kisima cha mafuta (GAPCO) baada ya mfuniko wa kisima hicho kujifunga na kukosa hewa wakati yeye na mwenzake wakifanya kazi ya kusafisha kisima hicho kabla ya kukimbizwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa
 Wamalia wema wakimpakia katika gari kwa ajili ya kukimbizwa hospitalini.
 Frank akitelemshwa ndani ya gari ya polisi katika hospitali ya mkoa huo.
Kijana Michael Mourice (28) akiwa katika hopsitali ya mkoa wa Morogoro baada ya kupata huduma ya kwanza katika tukio hilo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: