TAKWIMU ZA MECHI
KIKOSI
CHA ARSENAL: Mannone, Jenkinson (Gnabry 82), Mertesacker, Vermaelen,
Andre Santos, Ramsey, Coquelin, Arteta, Podolski (Arshavin 82), Cazorla,
Gervinho (Giroud 75).
BENCHI: Shea, Koscielny, Djourou, Chamakh.
BENCHI: Shea, Koscielny, Djourou, Chamakh.
NJANO: Vermaelen, Arteta, Ramsey, Gervinho.
KIKOSI
CHA SCHALKE 04: Unnerstall, Uchida, Howedes, Matip, Fuchs, Hoger (Jones
46), Neustadter, Holtby (Barnetta 65), Afellay, Farfan, Huntelaar
(Marica 87).
BENCHI: Hildebrand, Moritz, Draxler, Kolasinac.
NJANO: Afellay, Hoger.
WAFUNGAJI WA MABAO YAKE: Huntelaar 76, Afellay 86.
MAHUDHURIO: 60,049
REFA: Jonas Eriksson (Sweden)

Klaas-Jan Huntelaar akishangilia bao la kwanza alilofunga

Huntelaar akifunga

Mikel Arteta akisikitikia kipigo

Ibrahim Afellay akiifungia la pili Schalke

Afellay akishangilia bao lake

Lukas Podolski na Marco Hoger wakigombea mpira
Ibrahim Afellay akifanya mishe kwenye lango la Arsenal
Afellay akilalamikia kukwatuliwa kwenye eneo la penalti, lakini akapewa njano akishutumiwa kujirusha

Francis Coquelakipambana na Marco Hoeger

Coquelin akichuana na Hoeger
Manchester United imechapwa mabao 3-1 na Ajax mjini Amsterdam katika mchezo wa Kundi D wa Ligi ya Mabingwa Ulaya

0 comments:
Post a Comment