BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UMOJA WA VIJANA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) WAPATA MWENYEKITI MPYA.

Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) , Khamis Sadifa Juma.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni akimpongeza, Khamis Sadifa Juma baada ya kutangazwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM, mjini Dodoma baada ya kumalizika kwa kazi ya kuhesabu kura.
Mjumbewa Kamati Kuu ya CCM, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, (Kulia), akishuhudia wakati Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), aliyemaliza muda wake, Benno Malisa, (Wapili kushoto), akimpongeza mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo aliyechaguliwa kwenye mkutano mkuu uliofanyika jana Jumanne mjini Dodoma, Khamis Sadifa Juma.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: