BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MWANASOKA BORA WA AFRIKA KUPATIKANA DESEMBA 20 MWAKA HUU NCHINI GHANA.

drogs: Chelsea's Didier Drogba against LiverpoolDidier Drogba mmoja wa wanaowania tuzo za mchezaji bora Afrika.

 Hatem Ben Arfa - Newcastle United FC v CS Maritimo - UEFA Europa LeagueMsenegali Demba Ba kushoto.
Alex Song - Real Madrid v Barcelona - SupercopaAlexandre Song wa Cameroon kushoto.

Yaya Toure of Manchester City battles with Anderson of Manchester United during the FA Community Shield match sponsored by McDonald's between Manchester City and Manchester United at Wembley Stadium on August 7, 2011 in London, England.

 Yaya Toure kushoto.
Andre Ayew
 Andre Ayew wa Ghana.
 SHIRIKISHO la soka barani Africa CAF limetangaza majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa mwaka 2012.

Didier Drogba wa Ivory Coast ambaye aliisaidia timu yake ya zamani ya Chelsea kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa.

Drogba, ambaye kwa sasa anachezea timu ya Shanghai Shenhua ya nchini China.

Katika kinyang'anyiro hicho Drogba atachuana vikali na mtani wake Yaya Toure, wa Manchester City, wanaungana na msenegali Demba Ba anayeichezea Newcastle United, Andre Ayew wa Ghana na Alexandre Song wa Cameroon ambaye anakipiga na timu Barcelona.

Watano hawa wamechaguliwa kutoka katika orodha ndefu ya wachezaji 10 kwa mujibu wa rais wa shirikisho la soka nchini Ghana Kwesi Nyantakyi, ambaye pia ameshiriki katika bodi ya uteuzi ya CAF wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Hafla ya kumtaja mchezaji bora inayosimamiwa na CAF itafanyika Disemba 20 katika mji mkuu wa Ghana.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: