BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

Wauza watoto wachanga wakamatwa Cairo

JESHI la Polisi mjini Cairo Misri wanasema wamegundua gengi la watu wanaouza watoto ambalo linafikiriwa kuwa limeuza watoto wachanga 300.

Wauguzi wawili na daktari wa zahanati moja mjini Cairo ni kati ya wale waliokamatwa, na polisi wanasema bado wanamsaka meneja wa zahanati hiyo.
 
Inadaiwa kuwa wafanyakazi hao wa matibabu wamepasuwa waja wazito wasiotaka kuzaa, na kuwatoa watoto wachanga ambao waliwauza kwa familia zisokuwa na watoto.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: