BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS : TRAFIKI AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA GARI ENEO LA BAMAGA


Trafiki Elikiza baada ya kugongwa na gari eneo la Bamaga muda huu


Trafiki wa kike aliyejulikana kwa jina moja la Elikiza aliyekuwa akiongoza magari 
eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar, akifunikwa na wasamaria wema baada ya kugongwa na gari na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo.
SOURCE GLOBAL PUBLISHER
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: