BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAHAKAMU KUU YAMWACHIA HURU MWANDISHI WA HABARI SOMALIA, ALIFUNGWA KWA KOSA LA KUMHOJI MWANAMKE ALIYEBAKWA.

Somali journalist Abdiaziz Abdinuur Ibrahim will remain in jail for interviewing alleged rape victim [Unspecified] Abdiaziz Abdinuur Ibrahim.
MAHAKAMA makuu ya mjini Mogadishu Somalia yamemwaachilia huru mwandishi wa habari ambaye alifungwa kwa sababu ya kumhoji mwanamke aliyesema amebakwa.

Katika kesi iliyolalamikiwa kimataifa, mwandishi huyo, Abdilaziz Abdinuur, awali alipewa hukumu ya kifungo cha mwaka mmoja kwa kumhoji mwanamke ambaye alisema alibakwa na wanajeshi wa serikali.


Mwanamke huyo piya alihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja lakini kesi yake ilifutwa kwenye rufaa awali mwezi huu.

Jaji wa mahakama makuu - Aidid Abdulahi Ilkahanaf - alisema mashtaka yote dhidi ya mwandishi huyo wa habari sasa yamefutwa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: