Sehemu ya wanafunzi wa shirikisho hilo kutoka vyuo vikuu vya mkoa wa Morogoro wakimsikiliza Katibu Mkuu Chadema DK Slaa.
Hawa ni viongozi wa shirikisho la wachama cha Chadema kupitia shirikisho la vyuo vikuu mkoa wa Morogoro (CHASO)
Hawa nao ni miongoni mwa wanafunzi ambao walitunukiwa vyeti na Dk Slaa.
Manafunzi wa chuo kikuu cha waislam Morogoro, Mudhakiru Dauda akiuliza swali kwa Dk Slaa.

0 comments:
Post a Comment