BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LINAWASHIKILIA WATU WAWILI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MBUNGE MOSES MACHALI

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba jeshi la polisi mkoani Dodoma linawashikiria watu wawili kwa tuhuma za kumpiga mbunge Moses Machalli.
 
Machalli amelazwa katika hospitali ya mkoa Dodoma General na anaendelea vizuri.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: