MBUNGE WA KASULU MJINI AKIWA HOSPITALI MARA BAADA YA KUVAMIWA NA VIJANA DODOMA NA KUUMIZWA mtanda blog 3:59 PM Edit Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR), Moses Machali akiwa amelazwa kwenye wodi maalumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na vibaka jana usiku eneo la Area E mjini humo na kumjeruhi. Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus About mtanda blog Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment