BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MACHALI ATEMBELEWA HOSPITALI BAADA YA KUSHAMBULIWA NA WAHUNI


Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR), Moses Machali akiwa amelazwa kwenye wodi maalumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kuvamiwa na vibaka juzi usiku eneo la Area E mjini humo na kumjeruhi. Aliyesimama ni dereva wake, Baraka Charles Mchira.

Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR), Moses Machali akiwa amelazwa wodini.
Akisiendelea kupata nafuu baada kushambuliwa.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma,David Misime akizungumza na waandishi wa habari mjini humo jana kuhusu tukio la  Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR) Moses Machali kuvamiwa na vibaka eneo la Area E juzi usiku. 
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: