BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAZIRI MKUU PINDA NA KAULI YA KUWARUHUSU ASKARI POLISI KUWAPIGA WAFANYA VURUGU NCHINI BUNGENI.

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema jeshi la polisi litaendelea kuwakabili na kuwadhibiti ikiwa ni pamoja na kupiga wale wote wanaokiuka amri halali inayotolewa katika kulinda amani ya nchi iliyopo.

Mhe Pinda amesema hayo bungeni mjini Dodoma wak
ati ya kipindi cha maswali kwa waziri mkuu akijibu swali aliloulizwa juu ya matukio ya polisi kudaiwa kupiga wananchi katika matukio ya hivi karibuni.
KUPATA HII VIDEO BOFYA KATIKATI YA PICHA ILI KUWEZA KUONA.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: