BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ANGALIA PICHA ZA ZIARA YA OBAMA DAR LEO

Msafara wa Rais Barrak Obama Ukiwa Eneo la Mwenge Kuingia Barabara ya Sam Mujoma ukiwa njaini kuelekea Ubungo kukagua mitambo ya kuzalisha umeme ya symbion Leo asubuhi


Msafara uliombeba rais wa Marekani Barrack Obama ukiwa eneo la Ubungo kwenye makutano ya barabara ya Moarogoro na Sam Mujoma leo asubuhi

Rais wa Marekani Akiwa anaingia eneo la tanesco Ubungo leo asubuhi ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku mbili  aliyoianza Jana hapa Nchini
Gari la usalama wa Rais wa Marekani.





Msafara wa Rais wa marekani ukiwa eneo la tazara Kuelekea uwanja wa ndege tayari kuondoka mara baada ya kumaliza ziara yake hapa nchini leo.Picha na Mwinyi 
Picha na Mwinyi 






Share on Google Plus

About Anonymous

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: