BREAKING NEWS: MAJAMBAZI WALIOVALIA SARE YA JESHI LA POLISI HABIB AFRICAN BANK JIJINI DAR ES SALAAM. mtanda blog 12:14 PM Edit WATU wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Ban k Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha. Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Endelea kufuatilia taarifa zetu za habari. chanzo ITV Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus About mtanda blog Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment