BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

CCM YAMVUA UANACHAMA MWAKILISHI JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ZANZIBAR


Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki  Mkoa wa Mjini Magharibi-Zanzibar,Manzour Yusuf Himid amevuliwa uanachamana Halmash
auri Kuu ya CCM Taifa (NEC) akituhumiwa kushindwa kusimamia malengo ya CCM na kutekeleza masharti ya uanachama. CHANZO ITV.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: