BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HIVI NDIVYO BAR YA SAMAKI SAMAKI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO MBEZI JIJINI DAR ES SALAAM

KIOTA maarufu cha starehe jijini Dar es Salaam cha Samaki Samaki tawi la Mbezi–Makonde jijini Dar es Salaam leo kimeteketea kwa moto. Moto huo ambao bado haijafahamika umetokana na nini umeteketekeza kila kitu kwenye Mgahawa huo.
Samaki Samaki ikiteketekea kwa moto Bar ya Samaki samaki iliyopo maeneo ya Mbezi beach 

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: