BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWZZZZZZZZZ: MTU MMOJA AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI ,39 WAJERUHIWA VIBAYA

Picha na Maktaba..
Taarifa zilizotufikia Hivi Punde zinasema Mtu Mmoja afariki dunia   na wengine 39 wareruhiwa kwa  Risasi  katika kijiji cha Lukindo Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro kwenye Mgogoro wa wakulima na Wafugaji  Wanaogombea Bonde la Mgongolwa.Muda huu.Endelea Kuwa nasi Kwa Taarifa Zaidi.
Share on Google Plus

About Anonymous

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: