BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWZ : ANGALIA PICHA ZA MAJERUHI WA MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI MOROGORO

Mmoja Majeruhi Aliyejeruhiwa vibaya ambaye jina lake halikufahamika mara moja kati ya 39, aliyepigwa risasi baada ya kutokea vurugu za wakulima na wafugaji katika kata ya Hembeti wilaya Mvomero na kusababisha  mtu mmoja kufariki dunia kwa kupigwa na risasi mkoani Morogoro.



Share on Google Plus

About Anonymous

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: