Mkazi wa Manispaa ya Morogoro akiwa amejitwisha lundo la kiroba chenye chupa tupu za maji kichwani mara baada ya kuzikusanya katika mitaani mbalimba wakati akielekea kwa wanunuzi wa bidhaa hiyo eneo la makutano ya Old Dar es Salaam na DDC mkoani Morogoro.PHOTO/MTANDA BLOG
MWANAUME HACHAGUA KAZI NDIVYO ILIVYO ILIMRADI WATOTO WANAPATA MKATE WA KILA SIKU !!!.
Mkazi wa Manispaa ya Morogoro akiwa amejitwisha lundo la kiroba chenye chupa tupu za maji kichwani mara baada ya kuzikusanya katika mitaani mbalimba wakati akielekea kwa wanunuzi wa bidhaa hiyo eneo la makutano ya Old Dar es Salaam na DDC mkoani Morogoro.PHOTO/MTANDA BLOG
0 comments:
Post a Comment