NI CLEOPA MSUYA NA HARUNA ALI SULEIMAN.
Makamu
wa Rais wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya, aliyelazwa katika
jengo la Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili, wakati alipofika kumjulia
hali leo, Jan 15, 2014. Kulia ni mke wa Makamu, Mama Zakia Bilal
(kushoto) ni Meneja wa Jengo hilo la Moyo, Salome Kassanga.
![]() |
|
Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Waziri Mkuu msaafu Mzee Cleopa David
Msuya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Januari 15 jijini Dar
es Salaam. (Picha na Freddy Maro)
|

Makamu
wa Rais wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal,
akiagana na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya, aliyelazwa katika jengo
la Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili, wakati alipofika kumjulia hali
leo. Kushoto ni mke wa Makamu, Mama Zakia Bilal.

Makamu
wa Rais wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal,
akimjulia hali Waziri wa Kazi na Utumishi wa Umma wa Zanzibar, Haruna
Ali Suleiman, aliyelazwa katika jengo la Moyo Hospitali ya Taifa
Muhimbili, wakati alipofika kumjulia hali leo. Katikati ni mke wa
Makamu, Mama Zakia Bilal (kushoto) ni Meneja wa Jengo hilo la Moyo, Salome Kassanga. (Picha na OMR)
About mtanda blog
Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari


0 comments:
Post a Comment