BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS !!! HUKUMU YA LIYUMBA YA KUKUTWA NA SIMU GEREZANI KESHO.


 
HUKUMU ya Amatus Liyumba ya kukutwa na simu gerezani inatarajiwa kutolewa kesho.


Liyumba ambaye alikuwa Mkurugenzi wa zamani wa  Utawala na Utumishi (DPA) wa benki kuu ya Tanzania imeahirishwa leo na hukumu hiyo itatolewa kesho katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam ikitolewa na Augustina Mmbando.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: