BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KATIKA MAPENZI, MWANAMKE ANA MANENO MATANO TU YENYE MSISIMUKO KWA MWANAUME, LAKINI HUWEZI KUAMBIWA MPAKA UONYESHE UFUNDI WA KIWANGO CHA JUU.

Tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake.
Man and woman in bed Kama utakumbuka kwenye Makala zangu hapo Nyuma nilizungumzia maeneo kumi na mbili yenye utamu wa mwanamke kingono/kimapenzi. Kwa bahati nzuri wanawake wana maeneo 5 ambayo yanamsisimuko wa Ajabu ambapo huwawezesha kusikia utamu wa kufanya mapenzi/ngono tofauti na wanaume, ukisikia mwanamke anakwambia umemkuna vizuri basi umeyachezea vizuri maeneo haya (nikosoeni kama mnaeneo zaidi ya moja dada zangu).


Sehemu maarufu ni kipele G) lakini kuna eneo lingine linaitwa AFE ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke na vile vile kuta za uke bila kusahau mwanzo wa uke.


Mwanamke unaweza kufurahi/kupata utamu wa tendo hili takatifu kwenye maeneo yote hayo ikiwa mpenzi wako anajua kuwajibika (sio kufanya kwa muda mrefu tu bali kujua kucheza na kiungo chake a.k.a uume) pamoja na utundu wake pia wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi na huru kumuelekeza ikiwa kagusa kusiko au kapatia kunako utamu.


Kama we ni Mwoga wa kuongea basi onyesha kwa vitendo, mfano. Kama amekukuna sehemu na ndipo panautamu wa ajabu basi kama ni Chumvini mshike kichwani ukimaanisha asitoke...


Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti na unazidiana ikiwa umejaaliwa kuupata...... Ebu tuyaangalie kwa Makini.


KISIMINI
kisimini mwanamke anapata utamu kwa njia ya kusuguliwa/kushikwa au kuchezewa na ulimi/vidole au uume.Utamu wa mahali hapa hupatikana haraka na humfanya mwanamke asitamani kwa mda kidogo kama dakika 3 mpaka 10. Kwahiyo chezea kwa ulimi eneo hili kama nilivyofundisha kwenye somo hapo juu kuhusu kisimini. Mpenzi wako utamdrive crazy


G-SPOT
Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu sana mwanamke mara zote huzirai kwa muda (kuishiwa nguvu) huchukua muda wa dk20-45 kupatikana, na ukipatikana hamu haimwishii hivyo wakati yeye amezimia mpenzi unaweza kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi basi na yeye anaendelea kutafuta goli lingine.


Ikiwa unauwezo wa kumaliza lakini uume bado umesimama au unauwezo wa Kujizuia, basi unaweza kuendelea na hii itamfanya Mwanamke apige magoli mengi katika round moja(kutokana na uzoefu wa mpenzio)...


MWANZO WA UKE
Nadhani unakumbuka nilielezea siku chache zilizopita... Utamu wa mahali hapa kwa mwanamke haumfikishi kileleni bali anasikia utamu fulani, basi kama unataka afike basi wakati unapokuwa unasugua uume pale mwanzo usukume kidogo ndani, nchi 2 au 3 au katikati ya uume ili uweze kugusa G-SPOT iliyopo upande wa juu wa uke. Na jisugue kwa uzoefu wako. Hapa utasikilizia mwenyewe anavyoisikilizia.. na kumfikisha kunako Mlima kilimanjaro


KUTA ZA UKE
(kona zote kwa ndani), utamu wa eneo hili unapatikana toka mwanzo uume umeingizwa, na kadri mnavyoendelea kufanyana umoto unazidi na hatimae anamaliza(fika kileleni) ila sina uhakika kilele cha kuta za uke kina uhusiano gani na kufika kileleni.....utamu wa hapa haummalizi hamu kwani anaweza kuendelea mara baada ya kufika kileleni as long as bado uume bado mgumu (umedinda)....(kwa uzoefu)


MWISHO WA UKE
(ni karibu na njia ya uzazi.....umewahi kufanya mapenzi/ngono na mpenzi wako akagonga mwishowa uke na ukasikia maumivu fulani?. Inasemekana huko kuna utamu unaondana na maumivu fulani, ni sawa na kukuna kidonda kinachokaribia kupona.. Hapa Mwanamke ataomba tena na tena, na ufanye kwa Nguvu ili asikilizie Utamu huo


Utamu wa Huko azimii mtu, ila mpenzi wako anaweza kutoa Machozi kama sio kulia kilio cha furaha na maumivu, vilevile lazima atatoa ukelele wa maana sio ule wa kujifanya kumridhisha mwanaume....ukelele wa huko ni "INAUMA lakini TAMU"


Sasa kwa wewe mwanaume kama Mimi, ili kuweza kufika huko Mwisho vizuri, fanya hivi. Mwambie Mpenzi wako alalie ubavu mmoja kama ni kulia au kushoto, yaani mguu mmoja juu ya Mwingine. Akishafanya hivyo mwambie akunje mguu mmoja kuelekea mbele usoni. Sasa mwingilie mpenzi wako, kwa style hii atasikia msukumo wa Ndani kabisa wa uume wako ambapo unaweza kugusa Mwisho na Utamu wake utauona mwenyewe kwa Mihemuko na sauti yake, Siku Njema. ROGERS
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments:

AMINA said...

Jomba ungeweka na picha jomba. Elimu poa jomba.