BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KUVURUNDA KWA BARCELNA MSIMU HUU NA HII NDIYO KAURI YAO ETI KAMA WAKITWAA UBINGWA WA HISPANIA LA LIGA 2013/2014 KAMWE HAWATASHEREHEKEA NG'OO.

ATLETICO WATASHANGILIWA NA MASHABIKI 447 TU, MOTO UTAWASHWA KESHO YAKE.

Barca na Atletico Madrid watakutana kesho jumamosi kwenye uwanja wa Nou Camp


Wanaume wa kazi kesho wanavaana na Barcelona

KAMA Barcelona watashinda kesho dhidi ya Atletico Madrid na kutwaa taji la La Liga, siku inayofuata hawatakuwa na sherehe ya kushangilia ubingwa ndani ya basi lao la wazi na kupita mitaa ya Barcelona. 


Hii inatokana na kushindwa kuonesha makali msimu huu, hivyo wanaona hakuna haja ya kufurahia mafanikio kiduchu namna hiyo.

Wachezaji, makocha, wakurugenzi na mashabiki wa Barca walishakata tamaa ya kutwaa ubingwa siku nyingi, kwahiyo kama watashinda kesho na kutwaa ubingwa wataondoka uwanjani ndani ya muda mfupi. 


Wachezaji wa klabu hiyo wataondoka siku ya kesho yake na kwenda kujiunga na timu zao za taifa kujiwinda na michuano ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.

Anaondoka: 

Carles Puyol aliitisha mkutano wa mwisho na waandishia wa habari alhamisi ya wiki hii na kutangaza kuondoka Barcelona
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: