Baraza la maadili ya utumishi wa umma limeshindwa kumuhoji Mh Endrew Chenge baada kuwasilisha zuio la mahakama kuu lililozua kutokuendelea kujadili miamala ya Escrow huku wanasheria wa sekretarieti ya baraza hilo wakipingana naye kwa madai kuwa wao wanajadili ukiukwaji wa maadili na siyo miamala ya escrow.
leo Februari 25/ 2015.

0 comments:
Post a Comment