BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS: BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE EBY SYKES (62) AFARIKI DUNIA HOSPITALI YA MUHIMBILI DAR ES SALAAM.


Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes, amefiwa na baba yake mzazi, Mzee Ebby Sykes (62) aliyefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar es Salaam leo. 


 
Kwa taarifa zaidi endelea kufuatia ili kujua nini kinaendelea.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: