
Kocha mkuu wa klabu ya Polisi Moro SC, Mohamed Rishard Adolp amefungashiwa virago na uongozi wa klabu hiyo kufuatia kile kilichoonekana kuwa timu yao kushindwa kufanya vizuri katika ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015 tofauti na malengo waliokubaliana nayo.
Kwa taarifa zaidi endelea kufuatia..............

0 comments:
Post a Comment