BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS !!! KOCHA MKUU WA KLABU YA POLISI MORO SC MOHAMED RISHARD ADOLP AFUKUZWA KAZI.

Kocha mkuu wa klabu ya Polisi Moro SC, Mohamed Rishard "Adolf" akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati waa mazoezi ya klabu hiyo katika uwanja wa jamhuri Morogoro, PICHA/MTANDA BLOG.

Kocha mkuu wa klabu ya Polisi Moro SC, Mohamed Rishard Adolp amefungashiwa virago na uongozi wa klabu hiyo kufuatia kile kilichoonekana kuwa timu yao kushindwa kufanya vizuri katika ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015 tofauti na malengo waliokubaliana nayo.

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatia..............
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: