BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS !!! KONTENA LA LORI LAANGUKIA BASI LA ABIRIA NA KUWAKANDAMIZA BAADA YA KUTOKEA AJALI YA BARABARANI IRINGA.


Basi la Majinja limepata ajali eneo la
Changarawe Mafinga mkoani Iringa baada ya lori lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Mbeya kuangukia basi huku kontena likiwakandamiza makumi ya abiria na wengi wake kufariki dunia papo hapo leo asubuhi.

 
Lori hilo lilikuwa likikwepa shimo kubwa ambalo lipo katikati ya barabara hadi kupelekea kugongana na basi la abiria mali ya Kampuni ya Majinja lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Dar es Salaam.

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia................
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: