BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS !!! MABIBO HOSTEL YATEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR ES SALAAM.




Moto umeibuka katika hostel za chuo cha UDSM zilizoko Mabibo (Mabibo hostel) na bado unaendelea hadi sasa ila chanzo hakijajulikana.Waziri Mkuu wa Serikali ya wanafunzi wa chuo hicho cha UDSM Bwana Gibson George amesema kuwa chanzo hakijajulikana na nini ila moto umesambaa maeneo mbalimbali ya hosteli hizo.



"Watu wa zimamoto tumewapigia mapema sana ila wamechelewa kufika hadi muda huu ndio wamefika, tumejaribu kuuzima moto na umepungua kidogo japo bado unaendelea kwa baadhi ya vyumba" alisema Waziri Mkuu huyo
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: