BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ALICHOSEMA RAIS JAKAYA KIKWETE DODOMA NDICHO HIKI.

http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/Rais-JK.jpg 
Siasa zinapewa nafasi kubwa sana sasa hivi, Tanzania inaingia kwenyeUchaguzi Mkuu Mwezi October 2015… 


Tayari wapo waliotangaza Kugombea nafasi mbalimbali lakini macho ya wengi yako kwenye nafasi ya Urais, mpaka sasa kuna majina zaidi ya 35 ya watu waliotangaza Kugombea nafasi ya Urais kupitia CCM. 

Rais Kikwete yuko Dodoma, imenifikia hii Ripoti ya kilichoendelea jana wakati wa Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili cha CCM.




Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: