BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UBUNGE SASA DILI LA UKWELI ! DAUDI MRINDOKA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM JIMBO LA MOSHI MJINI



Kijana Daudi Mrindoko amechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Moshi mjini.

Siku ya ijumaa 17 Julai 2015 alifika ofisi ya CCM wilaya Moshi Mjini na kukabidhiwa fomu ya kugombea Ubunge kupitia ticketi ya CCM.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: