BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KAMERA AINA YA DRONE ILIYOGEUKA KUWA KIVUTI KAMPENI YA URAIS KWA EDWARD LOWASSA JANGWANI DAR ES SALAAM.

Kamera aina ya Drone imekuwa kivutio namna inavyoruka huku ikipiga picha katika matukio ya mkutano husika kutoka angani. Moja ya kifaa cha Kisasa kabisa aina ya Drone ambacho kilikua kikitumika kupiga picha kutoka anagani ambacho kimekuwa kivutio kikubwa kwa wakazi wa jiji la Dar Es Salaam jana katika viwanja vya jangwani katika ufunguzi wa kampeni ya urais kupitia Ukawa .Picha zote na Josephat.

Ya hapa chini ndiyo inayotumika katika mikutano ya kiasiasa kwa Tanzania.
 

   
Picha ya juu ikionyesha Sehemu ya watu mbalimbali na chini waliohudhuria mkutano wa ufunguzi wa mgombea urais kupitia Ukawa Edward Lowassa akiwakilisha chama cha demokrani na maendeleo (Chadema) jana katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: