BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

AJALI YA GARI NDOGO DAR ES SALAAM

Ajali ya gari ndogo iliyotokea leo Tegeta jijini Dar es Salaam inadaiwa kutokea na kusababisha kifo cha abiria mmoja huku mtoto mdogo akinusurika.

Taarifa zaidi tutaendelea kuwajulisha

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: